HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, December 6, 2018

AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDI

Naibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso (Mb) leo amehitimisha ziara Ruangwa Mkoani Lindi kwa kukagua miradi ya Kitandi, Mihewe na Mbekenyera. Aidha Mheshimiwa Aweso amefanya ziara Wilayani Nachingwea kwa kukagua miradi ya Mtua na Chimbendenga.
 Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akipewa maelezo juu mitambo ya kusafisha maji ya mradi wa Mbekenyera - Ruangwa.
 Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso akiongea na Mkazi wa Mtua alipokuwa akikagua mradi wa maji katika kijiji hicho wakati wa ziara yake aliyoifanya leo.
Naibu wa Maji Jumaa Aweso akiongea na wananchi wa Chimbenenga Nachingwea wakati wa wa ziara yake ya kukagua miradi ya maji.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad