Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akimjulia hali Mbunge wa Makete Profesa Norman Sigala King
ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Makete Profesa Norman Sigala King ambaye
amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam
akizungumza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli kumjulia hali leo tarehe 22/9/2018.
No comments:
Post a Comment