HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, October 26, 2018

MKULIMA AJISHINDIA KITITA CHA MIL. 10 KUTOKA CRDB SIM ACCOUNT

Meneja Uendeshaji wa CRDB Microfinance, Raymond Urassa (kulia) akizungumsa na waandhi wa habari wakati wa kuendesha droo kubwa ya mwezi katika kampeni ya Shinda na SimAccount iliyofanyika Oktoba 25, 2018 Mikocheni jijini Dar es salaam. Jumla ya wateja 924 wameweza kujishindia viwango mbalimbali vya fedha, wakiongizwa na Stanford Mdolo kutoka Isaka Mkoani Shinyanga aliyejishindia kitita cha Milioni 10 katika droo hiyo, Wengine ni Godfrey Nzoha kutoka Nzovwe, Mbeya (Milioni 5) pamoja na Jacob Lucas kutoka Mkuranga, Pwani (Milioni 1) . ambapo asilimia kubwa ya washindi hao ni wakulima. Kushoto ni Meneja Masoko wa CRDB Microfinance, Ariel Mkony
Meneja Masoko wa CRDB Microfinance, Ariel Mkony kabla ya kufanyika kwa droo kubwa ya mwezi katika kampeni ya Shinda na SimAccount iliyofanyika Oktoba 25, 2018 Mikocheni jijini Dar es salaam. Katikati ni Meneja Uendeshaji wa CRDB Microfinance, Raymond Urassa na kulia ni Balozi wa Kampeni hiyo, Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya, Zuwena Mohamed (Shilolole).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad