HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 13, 2018

WAZIRI MWAKYEMBE NA WAZIRI MWIJAGE WAKIJIBU HOJA ZA MKAGUZI MKUU WA SERIKALI

 Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanunuzi kuhusu hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu mkataba kati ya kampuni ya ubia ya StarMedia na Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Fillip Mpango (katikati) na Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage (kushoto) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Dkt. Hassan Abbasi alipokuwa akifawafafanulia jambo wakati wa kikao cha Mawaziri hao na waandishi wa habari kufafanua hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu wizara zao, leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akizungumza na waandishi wa habari alipokuwa akitoa ufafanunuzi kuhusu hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu utoaji wa huduma saidizi kwa wajasiriamali wadogo na wa kati nchini, leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa ufafanunuzi wa hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizohusu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) alipokuwa akitoa ufafanunuzi kuhusu hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusu utoaji wa huduma saidizi kwa wajasiriamali wadogo na wa kati nchini, leo mjini Dodoma. 
 Waziri wa Habari, utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kushoto) akifafanua jambo kwa Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage (katikati) na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango wakati wa ufafanunuzi wa hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) zilizohusu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Wizara ya Viwanda na Biashara leo mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad