HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 9, 2018

BENKI YA UBA YAENDELEZA UJIRANI MWEMA KUPITIA MICHEZO

 Mchezo kati ya Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya United Bank of Africa (UBA) Tanzania na taasisi mbalimbali kutoka nchini Uganda zilizopo nchini ukiendelea kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Ushindini Mikocheni jijini  Dar es salaam. Taasisi mbalimbali kutoka nchini Uganda ilishinda bao 2 kwa bila dhidi ya Wafanyakazi wa Benki UBA.

Kikosi cha Timu ya Wafanyakazi wa Benki ya United Bank of Africa (UBA) Tanzania, wakiwa katika picha ya pamoja. Wafanyakazi hao wamecheza mechi ya kirafiki na timu ya taasisi mbalimbali kutoka nchini Uganda zilizopo nchini. Uganda ilishinda kwa mabao 2 dhidi ya UBA (Tanzania) 0. Mechi hiyo ilichezwa katika Uwanja wa Shule ya Msingi Ushindini Mikocheni jijini  Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad