HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, March 7, 2018

LUKUVI AELEZA MABORESHO YALIYOFANYIKA KATIKA SEKTA YA ARDHI

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kazi, Mhe. William Lukuvi ametaja maboresho kadhaa yaliyofanyika katika Wizara ya Ardhi.
Mhe. Lukuvi aliyasema hayo alipokutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwl. Nyerere, Mzee Joseph Butiku alipofika ofisini kwake leo, katika kanda ya ofisi ya Ardhi - Dar es Salaam.
Akieleza Maendeleo yanayofanyika sasa katika eneo la Urasimishaji; Mhe Lukuvi alieleza kuwa zoezi la Urasimishaji sasa linaendelea kwa kasi, na kutolea mfano wa Jiji la Mwanza kuwa zoezi hilo linafanyika kwa mafanikio makubwa. Alisema; “Mpaka sasa viwanja 35,000 vimeshapimwa na Hati 12,000 kutolewa  katika wilaya za Ilemela na Nyamagana.  
Mhe. Lukuvi alisema baadhi ya maeneo mengine ambayo yamefanya zoezi la Urasimishaji kwa kiwango cha kuridhisha ni pamoja na Kimara na Makongo ambapo Wananchi wenyewe wamekuwa wahusika wakuu katika kuhakikisha kuwa wamezingatia miongozo waliopewa na Wizara kufanikisha zoezi hilo, ikiwepo kuzingatia kuainisha miundombinu muhimu kama  njia za barabara, maji , umeme n.k.
Akiendelea kufafanua jinsi eneo la Upimaji wa viwanja lilivyoboreshwa. Mhe. Waziri ameeleza kuwa sasa kuna kampuni 48 za upimaji ambazo zimesajiliwa na kuidhinishwa na Wizara, na zinazoendelea  sasa na kufanya upimaji wa viwanja katika maeneo mbalimbali nchini. 
Aidha, Mhe . Lukuvi ameeleza kuwa katika maeneo ya Vijijini pia kasi ya  upangaji wa Matumizi bora ya Ardhi imekuwa ya kuridhisha, tofauti na miaka ya zamani.  Hatahivyo alieleza kuwa changamoto zipo, hususani katika mkoa wa Morogoro; katika maeneo ya Mvomero, Kilombero na mengineyo lakini Serikali inaendelea na jitihada za kufanya taratibu za upangaji wa Matumizi bora ya Ardhi na kufanya upimaji wa maeneo kwa kasi kubwa zaidi katika maeneo hayo.  
Vile vile Mhe. Lukuvi amesema katika kuboresha ulinzi wa Hati za Ardhi; Hati sasa zipo katika taratibu za kuandaliwa na kutolewa Kielektroniki. Alisema, Hati hizo za Kielektroniki zitathibiti mianya yote ya ulaghai  na rushwa, matendo ambayo yamekuwa yakifanywa kwa muda mrefu na matapeli mbalimbali na kusababisha vilio kwa Wananchi wengi.  Pia kwa Mfumo huo wa Kielektroniki kila Mmiliki wa Ardhi, atalazimika kuwajibika ipasavyo katika kulipa Kodi ya Pango la Ardhi. 
Naye Mzee Butiku amempongeza Mhe. Lukuvi katika juhudi zake za kuendelea kuboresha huduma zinazofanywa na Wizara hiyo na kumsihi kuendelea na jitihada hizo. Alisema; “Nikilinganisha hali iliyokuwepo Wizarani nyakati za nyuma na sasa, maboresho ni makubwa, endelea na juhudi unazozifanya”. 
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kazi, Mhe. William Lukuvi akionyesha muonekano wa Hati ya Kielektroniki inavyotarajiwa kuwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwl. Nyerere; Mzee Joseph Butiku alipofika ofisini kwake leo, katika kanda ya ofisi ya Ardhi - Dar es Salaam.
 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kazi, Mhe. William Lukuvi akionyesha moja ya ramani za Mipango Miji kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwl. Nyerere, Mzee Joseph Butiku alipofika ofisini kwake leo, katika kanda ya ofisi ya Ardhi - Dar es Salaam
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya kazi, Mhe. William Lukuvi akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwl. Nyerere, Mzee Joseph Butiku na msaidizi wake walipofika ofisini kwake leo, katika kanda ya ofisi ya Ardhi - Dar es Salaam.

5 comments:

  1. Udaipur Escort Services
    We have Udaipur escorts girls, they are receptive in nature. They are prosperous and has a place with prominent family. These escorts are self ward that is the reason they work in this world to carry on with their life all alone. These escorts are accomplished and very much aware of being in this vocation. Our autonomous vadodara escort administration young lady realize how to think about our client, they know how a pressurized man ought to be handled.

    I am an autonomous escort call girls in ajmer. I am great with my exquisite touch. I am flawless and long and dark hair. On regular schedule I do exercise and practice yoga to keep up my body figure, I treat my body as sanctuary to give rivalry other Escorts in Udaipur. My body shape and figure is something which draw in my client right away. I keep my body perfect and waxed. As a world class sikar escort it is my duty to give you genuine closeness. My body is delicate, reasonable and strong. You will love to play with my entire hot body. You can satisfy your naughtiest interest by investing energy with sentimental little genteel me.

    Udaipur VIP Escorts care about obligaton
    Our Independent Udaipur escorts service never overlook the commitment, we assume liability of our customer. Our mount abu escort administration agency takes care about your worth. Your money won't be squandered by any means. You will get full protection through our indore escort services agency.

    ReplyDelete
  2. Most welcome to our Mumbai call girls escorts agency. We have high profile Independent VIP model Mumbai call girls. Meet our sexy Call girl today and get excellent escorts service through our agency.
    Mumbai escorts
    Mumbai call girls
    Navi mumbai call girls
    mumbai call girls number
    Andheri call girls
    Vashi call girls

    ReplyDelete

Post Bottom Ad