HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 22, 2017

MAMA MCHUNGAJI GEITA AIBUKA MSHINDI WA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 15/=TUSUA MAPENE YA VODACOM

 Bi.Adivella Muhimba,Mkazi wa Mkoa wa Geita  akikabidhiwa kitita cha  shilingi Miliono 15/- fedha taslimu na Meneja wa kanda ya ziwa  wa Vodacom Tanzania PLC, Undule Mwamkamba ambazo amejishindia kupitia promosheni ya  Tusua mapene inayoendeshwa na kampuni hiyo. 
 Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/kupitia promosheni ya Tusua Mapene Bi.Adivella Muhimba ambaye ni Mkazi wa Mkoa wa Geita,akifurahia  baada ya kukabidhiwa rasmi kitita chake na Meneja wa kanda ya ziwa  wa Vodacom Tanzania PLC, Undule Mwamkamba hapo jana.
Bi.Adivella Muhimba ambaye aliibuka mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 15/- kupitia promosheni ya Tusua Mapene  akifurahia jambo pamoja na wafanyakazi wa Vodacom Tanzania  Mkoani Geita baada ya kupokea fedha rasmi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad