HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 15, 2017

HOSPITALI YA MKOA KASKAZINI KIVUNGE YASHEREHEKEA WIKI YA WATOTO NJITI ZANZIBAR

 Bi Rahma Asheri Mama aliejifungua Watoto Njiti  mapacha Nassir na Yassir akionesha tabasamu katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
 Muuguzi Mkunga wa Hospitali ya Wagonjwa wa akili Bi Ruzuna Abdulrahim Mohd akitoa elimu kwa Wazazi waliopata watoto njiti katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
 Madaktari pamoja na wauguzi wakiwa katika Picha ya  pamoja na Wazazi wa Watoto Njiti katika Sherehe za Wiki ya Watoto njiti Duniani  iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
Daktari Bingwa wa Watoto kutoka Shirika la HIPZ(Helth Improvement Project in Zanzibar)Hannah Peters akimfanyia vipimo mtoto njiti kumuangalia uzito wake  katika Sherehe za Wiki ya Watoto  njiti Duniani  iliofanyika katika Hospitali ya Mkoa wa Kaskazini Kivunge Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZBAR.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad