HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 7, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA SHUGHULI YA USAMBAZAJI VIFAA KUFUNDISHIA SAYANSI

Waziri  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akiangalia Mtoto wa Darasa la saba anayesoma shule ya Uhuru  Mchanganyiko Mariana  Alex  Mwenye  ulemavu  wa macho, anavyoweza kuandika  kwa kutumia  mashine  maalumu  ya kuandika, June 6 2017 Waziri  Mkuu  alikabidhi  vifaa  vya Kujifunzia   katika shule mbalimbali hapa Nchini Shughuli hiyo imefanyika Jijini  Dar es salaam
Waziri  Mkuu  Kassim  Majaliwa  akijaribu  kuandika  kwa kutumia  kifaa maalumu  cha kujifunzia  kuandika  watoto wenye ulemavu  wa Macho 6 June2017, Kulia kwa Waziri Mkuu ni Waziri wa Elimu na Sayansi  Profesa  Joyce Ndalichako, Waziri  Mkuu  alikabidhi  vifaa  vya Kujifunzia   katika shule mbalimbali hapa Nchini Shughuli hiyo imefanyika  Jijini  Dar es salaam
 Waziri Mkuu  Kassim  Majaliwa  akisalimiana na Ofisa wa Banki ya Dunia anayeshughulikia  Elimu  nchini  Tanzania  Bibi  Cornelia  Jesse, katikati ni Ofisa  wa  Ubalozi  Swiden  Nchini Tanzania  anayeshughulikia Elimu Bibi Helena  Reutersward , maofisa hao walishiriki katika Uzinduzi  wa Usambaziji  vifaa  vya  kufundishia  Masomo ya  Sayansi  Shughuli hiyo ilifanyika 6 June 2017   katika  Viwanja  vya  Jeshi  Lugalo  Dar es salaam. Picha na Ofisi  ya  Waziri  Mkuu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad