HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 21, 2017

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AHIMIZA USHIRIKIANO, UPENDO KWA DINI ZOTE TANZANIA

Waziri Mkuu,  Kassim Majaliwa akitoa salamu za Shukurani kwa niaba ya Wabunge na wafanyakazi wa Bunge, kwa Spika wa Bunge Job Ndugai, kwa kuwafuturisha, June 20, 2017 katika Viwanja vya Bunge Mjini Dodoma. Waziri Mkuu aliwaasa Watanzania wote kuwa na ushirikiano kwa dini zote na kupendana.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akibadilishana mawazo na Spika wa Bunge Job Ndugai katika Futari iliyoandaliwa na Spika kwa ajili ya Wabunge, Wafanyakazi wa Bunge na Wageni waalikwa katika viwanja vya Bunge Mjini Dododma, June 20, 2017
Baadhi ya Wabunge wakibadilishina mawazo wakati wa futari iliyo andaliwa na Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai , kutoka kulia, Mbunge wa Ilala Idd Zungu. katikati Mbunge wa Bariadi Magharibi Andrew Chenge .na kushoto ni Mbunge wa Mbarali Haroon Mulla .Futari hiyo ilifuturiwa katika viwanja vya Bunge June 20, 2017 Mjini Dodoma Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad