Ofisa Miradi wa TAMWA, Godfrida Jola akizungumza na wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari, kabla ya kumkaribisha Bi. Edda Sanga kuzungumzia utekelezaji wa mradi wa Programu ya Haki na Utawala Bora, inayopinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto baadhi ya maeneo nchini Tanzania.
No comments:
Post a Comment