HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 13, 2017

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMAKUFANYIKA JUNE 14- 23, 2017


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe.Angellah Kairuki akizungumza na Waandishi wa habari(hawapo pichani) juu ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yatakayofanyika kuanzia tarehe 14-23 Juni ,2017 yenye kauli mbiu “Kuimarisha Ushirikishwaji wa Jamii katika Utoaji Huduma,Vijana washirikishwe kuleta mabadiliko Barani Afrika”.Kulia kwake ni Naibu katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi,Susan Mlawi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe.Angellah Kairuki akiwa katika mkutano na waandishi wa Habari leo Mjini Dodoma.
Picha na Daudi Manongi, MAELEZO, DODOMA.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad