HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, February 7, 2017

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI HITIMISHO LA MKUTANO WA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI MJINI DUBAI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Profesa  Alicia Giron ambaye ni Profesa na Mtafiti wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Mexico (UNAM) wakati wa hitimisho la mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai. 
SUZANA
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mwezeshaji Susan Monahan wakati wa hitimisho la mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Hitimisho la  mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai ukiendelea leo (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
 Wa pili kushoto ni Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan sambamba na washiriki wengine wakifutilia yaliyokuwa yakijiri kwenye  hitimisho la  mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai mapema leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais).

1 comment:

  1. Superb i really enjoyed very much with this article here. Really its a amazing article i had ever read. I hope it will help a lot for all.


    Best Dental Clinic in OMR | Best Dental Clinic in Velachery
    | Best Dental Clinic in Tambaram

    ReplyDelete

Post Bottom Ad