HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, January 24, 2017

SILAHA HARAMU 5,608 ZAPIGWA KIBERITI MKOANI KIGOMA

Silaha haramu zikiwaka moto wakati wa zoezi la kuteketeza Silaha haramu lililofanyika mkoani kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.
Silaha haramu zikiwa zimepangwa katika uwanja wa Lake Tanganyika tayari kwa uteketezaji wakati wa zoezi hilo lililofanyika mkoani kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba akiangalia silaha aina ya SMG iliyotengenezwa kienyeji ambayo ni mojawapo ya Silaha zilizoteketezwa wakati wa zoezi la uteketezaji wa Silaha haramu lililofanyika mkoani Kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba akikagua silaha haramu zilizoandaliwa kwa ajili ya kuteketezwa wakati wa zoezi la uteketezaji wa Silaha hizo lililofanyika mkoani Kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali katika kupambana na uzagaaji wa Silaha haramu hapa mchini ambazo zimekuwa zikitumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba akibonyeza kifaa maalumu kwa ajili ya kuwasha moto wa uteketezaji wa Silaha haramu wakati wa zoezi la kuteketeza Silaha haramu lililofanyika mkoani Kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Generali Emmanuel Maganga
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe.Mwigulu Nchemba akizungumza na wakazi wa mkoa wa kigoma waliojitokeza kushuhudia zoezi la la kuteketeza Silaha haramu lililofanyika mkoani Kigoma ambapo jumla ya Silaha haramu 5,608 zimeteketezwa na Jeshi la Polisi ikiwa ni juhudi za Serikali kupambana na uhalifu hapa nchini(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad