HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 23, 2016

WAZIRI MBARAWA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI WA NCHINI MISRI

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akifafanua jambo kwa Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty (mwenye tai nyekundu), alimpomtembelea ofisini kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji, jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty (kushoto), akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, picha za miradi ambayo Serikali ya Misri inaifadhili nchini Tanzania, alipomtembelea ofisini kwake kuona fursa mbalimbali za uwekezaji.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Misri, Dkt. Mohamed Abdel Aty, akifafanua jambo kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad