HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, September 25, 2016

Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba yaendelea kanda ya ziwa

Sehemu ya Wakazi wa Mji wa Magu Jijini Mwanza wakiwa wamefurika kwa wingi kwenye eneo la Uwanja wa Stendi kushuhudia Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa, iliyofanyika jana, ambapo mwana mama Martha Peter aliibuka mshindi na kuondoka na Ng'ombe.
Mmoja wa Washiriki wa Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa akichanganya karatasi wakati wa kuchezesha droo ya kumtafuta mshindi.
Meneja Masoko wa kinywaji cha Nzagamba kanda ya ziwa, Oscar Shelukindo akizungumza wakati wa droo ya kumtafuta mshindi wa Promosheni ya shinda Ng'ombe na Nzagamba kanda ya ziwa, lililofanyika katika eneo ya Magu jijini Mwanza, ambapo mwana mama Martha Peter aliibuka mshindi na kuondoka na Ng'ombe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad