HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 26, 2016

MAMIA WAJITOKEZA KUMZIKA ADOLF SAIMON KIVAMWO DAR ES SALAAM

Waombolezaji wa kipeleka jene nyumbani kwa marehemu, Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam le tayari kwa shughuli ya kuagwa na hatimaye viwanja vya Leaders Club ambapo mwili wa marehemu ulikwenda kuzikwa katika makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam leo.

Mwandishi wa Habari, Grace Nackso akimfariji mjane Frigeria Adolf Kivamwo wakati wa ibada fupi ya kuaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.

Adolf Saimoni Kivamwo enzi za Uhai wake.



Mjane Frigenia na wanawe wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.

Baadhi ya wanafamilia na majirani wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wanafamilia wakiaga mwili wa marehemu Adolf Saimon Kivamwo nyumbani kwake Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo, Mbezi Mwisho jijini Dar es Salaam leo. Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.
Wanakwaya ya Sinai wakitumbuiza katika shughuli hiyo nyumbani kwa Marehemu Mbezi mwisho jijini Dar es Salaam leo.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo nyumbani kwa marehemu Kivamwo.

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza kulipeka kwenye gari kwa kuelekea viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.

Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza kulipeka kwenye gari kwa ili kuanza safari ya viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Waombolezaji wakeka jeneza kwenye gari tayari kwa safari ya viwanja vya Leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.
Mjane Frigenia (kushoto) na wanawe, Arm Eliza (mwenye miwani) wakiwasili viwanja vya leaders Club.

Wanahabari wakilipokea jeneza baada ya mwili wa marehemu Kivamwo kuwasili viwanja vya vya leaders Club kwa shughuli ya kuagwa.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.


Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.

Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Wanakwaya ya Sinai wakitumbuiza katika shughuli hiyo. Mjane Frigenia na wanawe, Arm, Eliza (mwenye miwani) na Miriam (kulia) wakiwa na huzuni wakati wa msiba huo.

Askofu Isaya Kiputa wa Kanisa la Pentekoste Holiness Mission akisalimiana na Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media, Dkt. Reginald Mengi (kushoto) katika viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media, Dkt. Reginald Mengiakisalimiana na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji baada ya kuwasili viwanja vya Leaders Club leo.

Mchungaji Reuben Njereka akitoa neno katiba ibada ya kuaga iliyofanyika viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam leo.

Wana habari wakongwe walipata fursa ya kuonana katika tukio hilo. Kulia Muhidini Issa Michuzi 'Ankali' akisalimiana na Bernard Mapalala huku Hamisi Kibari (kushoto) na Charles Kayoka wakitabasamu.

John Holana akisoma risala ya marehemu.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media, Dkt. Reginald mengi akitoa salamu zake.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo.
Waombolezaji wakiwa katika shughuli hiyo. Mhariri wa zamani wa Gazeti la The Guardian, Evarist Mwitumba akielezea machache kuhusu maisha ya marehemu enzi za uhai wake wakifanya kazi pamoja.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda akitoa salam za faraja kwa wafiwa na kuoelezea waombolezaji namna bora ya kuenzi mema aliyotuachia marehemu Kivamwo.



Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete akitoa mawaidha yake na kusisitiza waombolezaji kutokusahau mazuri yaliyofanya na marehemu Kivamwo na kuaenzi katika maisha yetu.

Mhariri Mtendaji wa magazeti ya The Guardian, Richard Mwigamba akitoa salamu zake.

Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dkt. Jim Yonaz akitoa salamu na nasaa zake kwa waombolezaji.


Mhariri Mtendaji wa Gazeti la the Citizen, Bakari Machumu akitoa pia salam kwa waombolezaji.

Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri, pia Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Nchini, wakili Deodatus Balile akitoa salam zake.

Mwenyekiti wa 'Media Car Wash for Cancer' aliyeongoza kampeni ya matibabu ya Kivamwo, Benjamin Thomson akitoa salamu na shukrani kwa wote waliojitoa kwa matibabu na shughuli ya mazishi ya marehemu Kivamwo.


Mwombolezaji pia shabiki wa Timu ya Simba, Ben akimpa ubani mjane Frigenia Adolf Kivamwo wakati wa shughuli hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda akimpa mkono wa pole mjane na watoto wa marehemu.
Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete akiwapa mkono wa pole na watoto wa marehemu.




Mhariri Mtendaji wa The Habari Media, Absolom Kibanda (kulia) akitoa mkono wa pole kwa wafiwa. Pamoja naye ni Mhariri Mtendaji wa Gazeti la the Citizen, Bakari Machumu (kulia) na Mhariri Mtendaji wa magazeti ya The Guardian, Richard Mwigamba.

Mhariri Mtendaji wa Gazeti la the Citizen, Bakari Machumu (kulia), Mhariri Mtendaji wa magazeti ya The Guardian, Richard Mwigamba (katikati) na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Limited, Dkt. Jim Yonaz wakitoa pole kwa wafiwa.














Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media akibadilishana mawazo na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jamhuri, pia Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Nchini, wakili Deodatus Balile.

Mjane Frigenia akifarijiwa baada ya kuaga mwili wa marehemu Kivamwo.
Mwana Habari Leah Samike (kulia) na Rechol Mkundai wakiwafariji watoto wa marehemu baada ya kuaga mwili baba yao Adolf Saimon Kivamwo.


Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media akibadilishana mawazo na wafanyakazi wa sasa na zamani ambao waliwahi kufanya kazi na marehemu Kivamwo kwenye Kampuni ya The Guardian Ltd wakati wa shughuli hiyo.



Askofu Isaya Kiputa wa Kanisa la Pentekoste Holiness Mission akiongoza ibada ya mazishi kwenye makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam leo.




Mjane Frigenia Adolf Kivamwo akiweka shada la maua kwenye kaburi la mumewe.

Wanawe Mariam (kushoto), Amy (mdogo kabisa) na Eliza wakiweka maua kwenye kaburi.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP-Media ambapo marehemu aliwahi kufanyika kazi kwenye Kampuni ya The Guardian Ltd akimwombea marehemu baada ya kuweka shada la maua.

Wabunge Saed Kubenea wa ubungo (kushoto), Zitto Kambwe Kigoma Mjini na Shy-Rose Bhanji wa Bunge la Afrika Mashariki wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.
Mwenyekiti wa 'Media Car Wash for Cancer' aliyeongoza kampeni ya matibabu ya Kivamwo, Benjamin Thomson na Mwana habari mwenzake Grace Nackso wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.

Mwana habari Amy Cunningham aliyewahi ufanya kazi na Kivamwo akiweka ua wenye kaburi wakati wa mazishi.
Wana habari wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.

Wana habari wakiweka maua kwenye kaburi wakati wa mazishi.

Wanafamilia wakiwa pamoja wafariji wao baada ya mazishi. (Imeandaliwa na robertokanda.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad