HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, October 24, 2015

MTAANI LEO TASWILA MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM

 Kamera ya Mta kwa Mta  yamnasa kijana akionesha umahili wake wa kuendesha Baiskeli  jijini la Dar es Salaam.
 Kamera ya Mtaa kwa Mtaa katika harakati zake za kutafuta  matukio ilikutana na tukio la kijana jasho likimtoka na wananchi  wamemzunguka baada ya kutaka kupeleka mkono wa nichukue au niache jijini Dar es Salaam.
 Mnyororo huoo unaanza.
uwanja wa Taifa paleeeee   
 Gari la kutoa huduma  (Breakdown) ya kubeba gari lililopata ajali leo jijini Dar es Salaam.
 Kamera ya mtaa kwa mtaa katika harakati zake yakutana na  mchepuko wa barabara  eneo la karimjee jijini Dar es Salaam.
Mafundi wakiendelea na ukarabati wa barabara leo  jijini Dar es Salaam.
                      (Picha na Emmanue Massaka wa Mtaa kwa mtaa)

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad