HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 12, 2015

BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA KONTENA TANO ZA BIDHAA ZILIZOHARIBIKA.

Vijana wakitoa bidhaa zilizoharibika kwenye Kontena tayari kwa kwenda kuangamizwa.
Vijana wakimwaga sukari iliyoharibika katika eneo la mashimo ya kifusi Kibele Wilaya ya Kati Unguja.

Gari la Kijiko likiharibu pipi zilizo haribika katika Kijiji cha Kibele Wilaya ya Kati.
 Mkuu wa usalama wa chakula Bodi ya chakula, dawa na vipodozi Zanzibar Nadir Khatib Hassan akitoa ufafanuzi wa bidhaa hizo kwa wandishi wa habari huko Kibele zilipo angamizwa.
 Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad