HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 28, 2011

Spika akabidhiwa kombe leo kutoka ofisi za Bunge

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwaonyesha waheshimiwa wabunge Kombe ambalo Ofisi ya Bunge imeshinda katika Maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kushirikisha taasisi mbalimbali za Umma kutoka barani Africa na kufikia kilele wiki iliyopita tarehe 23 Juni, 2011. katika Maonyesho hayo Ofisi ya Bunge imekuwa mshindi wa Pili katika nafasi ya banda bora kwa utoaji bora wa huduma hususani katika kuelezea Kazi Bunge, Muundo wake, Mamlaka ya Bunge nk. picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

1 comment:

Post Bottom Ad