Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwaonyesha waheshimiwa wabunge Kombe ambalo Ofisi ya Bunge imeshinda katika Maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kushirikisha taasisi mbalimbali za Umma kutoka barani Africa na kufikia kilele wiki iliyopita tarehe 23 Juni, 2011. katika Maonyesho hayo Ofisi ya Bunge imekuwa mshindi wa Pili katika nafasi ya banda bora kwa utoaji bora wa huduma hususani katika kuelezea Kazi Bunge, Muundo wake, Mamlaka ya Bunge nk. picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Tuesday, June 28, 2011
Home
Unlabelled
Spika akabidhiwa kombe leo kutoka ofisi za Bunge
Spika akabidhiwa kombe leo kutoka ofisi za Bunge
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
BLAA BLA POLOJO ZA WADANGANYIKA
ReplyDelete